Severo wa Barcelona (alifariki Barcelona, Hispania, 304 hivi) alikuwa askofu ambaye inasemekana aliuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Novemba[2].
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search